06a Hakikisho la Wokovu; (Utajuaje Kwamba Umeokoka?) Madaraja ya Kumfikia Mungu

17 Machi, 2025

Kitabu: 1 Yohana

Bible Passage: 1 Yoh 1, 1 Yoh 2

Katika somo hili Mchungaji Korosso anatufundisha namna ya kujua kwamba tumeokoka. Kwanza Mungu kwa upendo wake mkuu ametusamehe bure. Kama Mungu anasema ametuokoa kwa nini tena kujiuliza na kuhangaika? Tuwe na imani isiyo na shaka juu ya mpango wake Mungu kutuokoa.

Mafundisho haya yanaendana na masomo yanayopatikana katika Kozi ya Maji ya Uzima inayoitwa Madaraja ya Kumfikia Mungu. Kwa maelezo zaidi kuhusiana na masomo haya au kujiunga na kozi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe: neno@majiyauzima.com

Simu: +255754 490 549 / +255694 298 395 / +255719 275 767