04b Tiba ya Dhambi; (Maisha ya Mtu Aliyeokolewa) Madaraja ya Kumfikia Mungu

6 Disemba, 2024

Kitabu: Efeso, Warumi

Bible Passage: Efe 2, Rum 8, Eze 11

Je! Unajua Biblia inasemaje kuhusu sifa za watu ambao hawajapata tiba ya dhambi?

1. Amekufa Kiroho

Efe 2:1, 1 Tim 5:6

2. ni Mwana wa Shetani

MDO 13:10, Yoh 8:44

3. Ana Akili ya Kuasi

Rum 8:7-8

4. Ana Moyo Mwovu

Ebr 3:12, Yer 17:9, Marko 7:20-23

5. ni Kiumbe Aliyenajisiwa

Tit 1:15, Isa 64:6

6. ni Mtumwa wa Shetani

2 Tim 2:26

7.ni Wana wa Hasira

Efe 2:3

8. ni Chini ya Hukumu

Yoh 3:18, 2 Thes 1:7-9

9. Hana Tumaini

Efe 2:12

Sifa za mtu aliyeokolewa ni zipi?

1. Amefanywa Kuwa Hai

Efe 2:5-6

2. ni Mwana wa Mungu

Yoh 1:12, Gal 3:26

3. ni Wakamilifu Katika Kila Tendo Jema

Ebr 13:21, 1 Pet 1:2

4. Ana Moyo wa Nyama

Eze 11:19-20, Yer 32:39

5. ni Kiumbe Aliyetakaswa

1 Kor 6:11, Ebr 10:22

6. ndio Waliowekwa Huru

Yoh 8:36, Gal 5:1

7. ni Wapatanishi

Mat 5:9, Rum 12:18, Ebr 12:14

8. ndio Waliohesabiwa Haki

Rum 8:1, Rum 8:33-34

9. ni Wenye Tumaini lenye Uzima

1 Pet 1:3, 2 Thes 2:16, Kol 1:27, Rum 15:13

Mafundisho haya yanaendana na masomo yanayopatikana katika Kozi ya Maji ya Uzima inayoitwa Madaraja ya Kumfikia Mungu. Kwa maelezo zaidi kuhusiana na masomo haya au kujiunga na kozi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe: neno@majiyauzima.com

Simu: +255754 490 549 / +255694 298 395 / +255719 275 767