Yesu ni Nani? Katika sura ya tatu na ya nne ya Injili ya Yohana tunajifunza kwamba Yesu ndiye; Hekalu Takatifu, Aliyeshuka, Mwanae Pekee, na Maji ya Uzima wa Milele. Mathayo anatukumbusha umuhimu wa kutumia vizuri yale ambayo Mungu ametupatia kama usafi katika mambo ya ndoa, kiasi katika chakula nk. Kwa sababu miili yetu ni hekalu lake Mungu. Mafundisho haya yanaendana na masomo yanayopatikana katika Kozi ya Maji ya Uzima inayoitwa Hatua ya Kwanza.
Kwa maelezo zaidi kuhusiana na masomo haya au kujiunga na kozi wasiliana nasi kupitia
Barua pepe: neno@majiyauzima.com
Simu: +255754 490 549 / +255694 298 395 /+255719 275 767